Slide

Monday, November 30, 2009

VIVAZI VINGINE JAMANE......


JE MARIAH CAREY NI MJAMZITO?


Maria Carey na mumewe Nick Canon,kuna tetesi kuwa Mariah ni mjamzito lakini ukweli ni wa wawili hao...mie sijui wenzangu mmh.....

MOVEMENT OF GOD'S PEOPLE

Waimbaji wa  muziki wa injili {gospel }kutoka USA wakiwa kwenye picha ya pamoja.....

One of my friends....

Mtangazaji  wa TBC 1 Benny Kinyaiya akiwa katika pozi..Ahsante saaanaaa.

Saturday, November 28, 2009

MAMA MICHELLE OBAMA AKIWA NA WANAWE.



Hapa mama Michelle Obama akiwa na bintize Sasha na Malia wakiangalia mti maalum wa christmas.....

Friday, November 27, 2009

TIGER WOODS IN A CAR CRASH


  • Mcheza golf namba moja duniani TIGER WOODS kutoka nchini Marekani,leo amepata ajali ya gari katika community ya ISLEWORTH karibu kabisa na nyumbani kwake katika mji wa WINDERMERE,FLORIDA aligonga mti, alikimbizwa hospital lakini kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mayor wa WINDERMERE, Tiger mwenye miaka 33 ameruhusiwa kurudi nyumbani,WE ARE PRAYING FOR QUICK RECOVER FOR HIM.....POLE.

WEDDING SHOES


  • Viatu hivi ni maalum kwa harusi,viatu vya harusi mara nyingi vyafaa viwe vyeupe.
  • Chagua kiatu ambacho kinakutosha sawasawa, na kiatu ambacho hakitakuchosha hasa kwa mabibi harusi.Maana ukivaa kiatu kirefu utachoka haraka na utakosa raha katika siku hii muhimu kwako..
  • Waweza kuchagua design yeyote ya kiatu kutokana na upendeleo wako ila tu kiwe kwenye style haijalishi ni kirefu au kifupi itatokana na uchaguzi wa mtu mwenyewe.
  • Mara sherehe itakapoisha hifadhi kwenye mfuko maalum ambao hautaingiza joto ili kuvilinda na kuharibika au unaweza ukahifadhi mahali pasipo na vumbi au joto kali.

MENS HAIR STYLES


ZAWADI


MWANIONAJE????



Siko nyuma kabisa katika kufungua champagne hapa ni katika harusi ya moja ya wadau wa blog hii iliyofanyika katika ukumbi wa NEXT DOOR

TUFURAHI KWA PAMOJA WAJAMENI


  • Jamani twiga nibebe niione ijumaa kabla yako mwenzio mfupi sioni...hahaaaa!horiaaa!

ANNOUNCEMENT


  • SALON KUBWA YA KIKE NA KIUME YA THE BEST OF U FASHION KARIBU ITAFUNGULIWA IKIWA TAYARI NITAWAJUZA KILA KITU KUHUSIANA NA SALON HII,ITAKUWA WAPI NA KILA KITU VYOTE NITAWAJULISHA.....WAWEZA KUWASILIANA NAMI KWA SIMU 0712-950432.

Thursday, November 26, 2009

WEDDING HAIR STYLES



NIGERIAN TRADITIONAL WEDDING


MDAU MUHIMU WA ANGOLA

KILEMBA


  • Huu ndio ufungaji bora wa kilemba wala hakining'ini nyuma wala mbele wafunga vilemba mpo hapo???,mmeonaaaa

STYLE MPYA YA NYWELE KWA MWAKA 2009


  • Hii ni style inayopatikana nchini Nigeria na ni style mpya kabisa....Tanzania tutaweza hapa???

AHSANTE SANA..

  • Mie na Aunt tukifungua mizinga ya sherehe.....

MAMA MDOGO HUYOOO....


Mama CJ.

PAKANJAA,PAKANJAA.


Kucheza ni muhimu kwa kila mtu hebu angalia wadau wakionyeshana ujuzi wa aina yake,kila mtu hakuwa nyuma kumwonyesha mwenzie ni kiasi gani amefuzu....

RIHANNA WITH CURLZ


Rihanna na curls zimetulia...

"WADAU MUHIMU WA USA.....


.....Joan D thank u for ur support....

MY SIS MDAU WA MALAYSIA


....Mie cheko lako tu dada...,

WIFI 4 LYF


..Wifi langu na ni mdau mkubwa wa Ujerumani...her name is Franz......

RONELYNA NIKIFUNGUA CHAMPAGNE


.......Kama unahitaji kufunguliwa champagne nitwangie mail tu kwa wapendwa 2.....haaaaaa!

WADAU WAKIPITA KWENYE RED CARPET NA MIE SIKUWA NYUMA HATA KIDOGO....



Jamani na mie nimo na wadau tukifurahi kwa mdau wetu kuoa......

WIFI LANGU KWENYE HARUSI YA MDAU........


Cheko lako tu my wifi ,luv u....