Slide

Friday, November 27, 2009

TIGER WOODS IN A CAR CRASH


  • Mcheza golf namba moja duniani TIGER WOODS kutoka nchini Marekani,leo amepata ajali ya gari katika community ya ISLEWORTH karibu kabisa na nyumbani kwake katika mji wa WINDERMERE,FLORIDA aligonga mti, alikimbizwa hospital lakini kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mayor wa WINDERMERE, Tiger mwenye miaka 33 ameruhusiwa kurudi nyumbani,WE ARE PRAYING FOR QUICK RECOVER FOR HIM.....POLE.

No comments:

Post a Comment

COMMENT HERE: